Mali za CUF zanaswa zilipofichwa !

Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF Taifa, Abdul Kambaya

Chama cha Wananchi CUF chini ya uongozi wa Prof Lipumba, kimefanikiwa kuyakamata magari sita kati ya saba iliyokuwa inayatafuta ambayo wamiliki wake walikaidi agizo la Mwenyekiti wa chama hicho la kurejeshwa kwa mali zote zilizo nje ya ofisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS