Serikali yatoa miezi 6 kila kaya iwe na choo bora

Choo

Serikali imetoa muda wa miezi 6 kwa kila kaya ya Tanzania kuhakikisha wanakuwa na choo bora na kukitumia na ifikapo June 5 mwaka 2017 kaya ambazo zitashindwa kujenga choo bora zitasimamiwa kujenga zikiwa chini ya Ulinzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS