Yanga inavyojipanga kushinda vita tatu tofauti
Uongozi wa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga katika vita ya kutetea ubingwa wao wa ligi, ubingwa wa Kombe la Shirikisho na pia kujipanga na mchezo wa kombe la shirikisho siku Jumamosi dhidi ya MC Algiers ya Algeria.

