DC aamuru wakazi wote wa kitongoji wahame Evod Mmanda Mkuu wa wilaya ya Mtwara Evodi Mmanda ametoa muda wa siku Saba kwa uongozi wa Kitongoji cha Mkaya, kilichopo kata ya Naumbu kuhakikisha wakazi wake wanahama na kutafuta sehemu nyingine za kuishi Read more about DC aamuru wakazi wote wa kitongoji wahame