DC aamuru wakazi wote wa kitongoji wahame

Evod Mmanda

Mkuu wa wilaya ya Mtwara Evodi Mmanda ametoa muda wa siku Saba kwa uongozi wa Kitongoji cha Mkaya, kilichopo kata ya Naumbu kuhakikisha wakazi wake wanahama na kutafuta sehemu nyingine za kuishi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS