Barnaba akutana na 'muujiza', amkiri Mungu

Barnaba

Siku kadhaa baada ya kutoa taarifa ya kuibiwa vitu katika gari yake ikiwemo pasi ya kusafiria msanii wa kizazi kipya Barnaba 'Baba Steve' amewataka watu waamini Mungu yupo baada ya asubuhi ya leo kuletewa vitu vyake kwenye bahasha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS