Okwi wa Bukoba atambulika msimbazi
Hatimaye kijana Adam Abubakary kutoka Bukoba mkoani Kagera aliyejizolea umaarufu kwa jina la ''Okwi wa Bukoba'' baada ya kuonekana akiwa amechora jina la Okwi kwenye fulana yake amekabidhiwa jezi rasmi ya Emmanuel Okwi.

