IGP Sirro atoa tamko kwa jamii
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, ameitaka jamii pamoja viongozi wa dini kushirikiana na Polisi ili kutokomeza makosa mbalimbali katika jamii ikiwemo, mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi, ulevi, ubakaji ili kuiweka nchi salama zaidi.