Waliompiga Enock mpaka kifo mikononi mwa polisi Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa picha mjongeo ambayo inaonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha kijana aliyeefungwa mikono huku akipigwa kwa fimbo. Read more about Waliompiga Enock mpaka kifo mikononi mwa polisi