''Majeraha yalinipa kiu ya mafanikio'' - Chilunda

Shaaban Idd Chilunda mchezaji wa Azam FC ambaye amesajiliwa Tenerife ya Hispania.

Mshambuliaji wa Azam FC Shaaban Idd Chilunda amesema majeraha aliyoyapata mwanzoni mwa msimu uliopita, ambayo yalimweka nje kwa raundi yote ya kwanza ya ligi kuu ndio chanzo cha yeye kufanya vizuri baada ya kupona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS