CHADEMA yafuta kauli ya Makarai Buyungu

Kushooto ni aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, Marehemu Mwl. Kasuku Bilago, Kulia ni Mgombea Elia Michael aliyeteuliwa na CHADEMA kugombea kiti kilichoachwa na Bilago.

Baada ya Kamati Kuu CHADEMA kupitisha jina la Elia Michael kuwa  mgombea wa kiti cha Ubunge katika jimbo la Buyungu mkoani  Kigoma, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana chama hicho, Patrick Ole Sosopi amedai kitendo hicho kitaondoa uongo uliowahi kuenezwa kwamba vijana wa chama chao ni makarai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS