CECAFA yaiongezea michuano Tanzania

Katibu mkuu wa CECAFA Nicolaus Msonye

Baraza la soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeahidi kushirikiana na (TFF), katika kufanikisha michuano ya kanda ya kuwania kufuzu fainali za AFCON kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17, itakayoanza Agosti 11 hadi 26 mwaka huu jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS