“CHADEMA, ACT hakuna wanachama”- Mwenyekiti CCM

Pichani ni Nembo za Vyama vya CHADEMA na ACT-Wazalendo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kigoma, Amatus Nzamba amesema kuwa kuungana kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyugu ni dhahiri kwamba vyama hivyo havina wanachama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS