Serengeti Boys wasababisha TFF kuvibana vilabu

Rais wa TFF Wallace Karia

Shirikisho la soka nchini (TFF), limeweka wazi kuwa linakuja na mpango wa kutengeneza mkakati wa kusaidia vipaji vya vijana wa Serengeti Boys viweze kuendelezwa kupitia kuvibana vilabu vya ligi kuu viweze kuwapatia nafasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS