Zitto aeleza hofu yake baada ya kutoka TAKUKURU Zitto Kabwe Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, amesema ana hofu kuwa maelezo yake aliyoyatoa TAKUKURU yanaweza yasitumike kusaidia kuondoa tatizo la rushwa. Read more about Zitto aeleza hofu yake baada ya kutoka TAKUKURU