Lema anavyopambana mtandaoni toka 2018 hadi 2019

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.

Moja ya wanasiasa ambao kwa mwaka 2018 walikuwa ni watumiaji wa wakubwa mtandao wa Twitter ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ambaye alionekana kutoa maoni yake kwenye masuala mbalimbali ya kitaifa lakini kwa mwaka 2019 pia ameendeleza utaratibu wake wa kutoa maoni yake juu ya masuala

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS