Magufuli asema moto wake haufikii wa Dkt. Bashiru

Kushoto ni Dkt. Bashiru Ally katibu mkuu CCM na na Rais Magufuli.

Rais John Magufuli leo ameweka wazi kuwa hotuba za Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally huwa zinamshangaza kwa namna ambavyo anazitoa bila uoga jambo ambalo humfanya yeye ajione ni mpole.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS