Manara aahidi kujirusha kwa mashabiki Mashabiki wa Simba Afisa Habari wa Simba, Haji Manara ametoa ahadi kubwa kwa mashabiki wa klabu hiyo watakaojitokeza katika Uwanja wa Taifa leo itakapopambana na JS Saoura ya Algeria katika mchezo wa Klabu Bingwa Barani Afrika. Read more about Manara aahidi kujirusha kwa mashabiki