Hiki ndicho kitakachomuondoa CAG kwenye nafasi

Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad.

Katibu wa Itikadi na Uenezi, Ndg, Humphrey Polepole amesema kitendo cha Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad kuliita Bunge ni dhaifu ni kukikosea heshima chombo hicho kilichopewa mamlaka kamili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS