Rais Magufuli asababisha maandamano Iringa

Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Wafanyakazi Mkoani Irtinga wamelazimika kufanya maandamano maalum ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli juu ya maamuzi yake uamuzi wake kurudisha matumizi ya kanuni za kikokotoo cha zamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS