Rais Magufuli atoa ndege zake kwa wananchi

Rais Magufuli akishuka kwenye ndege ya Rais katika moja ya safari zake.

Rais Dkt. Magufuli ameagiza kwamba ndege 2 kati ya ndege 3 za Rais, zipakwe rangi ya Air Tanzania na zianze kutumika kusafirisha abiria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS