Rais Magufuli atoa ndege zake kwa wananchi Rais Magufuli akishuka kwenye ndege ya Rais katika moja ya safari zake. Rais Dkt. Magufuli ameagiza kwamba ndege 2 kati ya ndege 3 za Rais, zipakwe rangi ya Air Tanzania na zianze kutumika kusafirisha abiria. Read more about Rais Magufuli atoa ndege zake kwa wananchi