"Mniombee, nikikua niwe kama JPM" - Makonda

Kulia ni Rais John Magufuli, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda

Mkuu wa Mko wa Dar es salaam, Paul Makonda amewaomba viongozi wa dini waweze kumuombea ili atimize ndoto ya kuwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS