"Ni dhambi kuchukua sifa isiyo yako"- Polepole
Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM amepinga suala la Mbunge wa Bunda Mjini kutambuliwa na kupewa sifa kwamba aliwatetea wafanyakazi juu ya mafao kwa kipinga hadharani kikokotoo kipya na badala yake itambuliwe serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli.

