Kauli tatu tata za Yanga kuhusu safari ya Zahera

Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika na kocha Mwinyi Zahera

Baada ya hapo jana kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kuondoka nchini kuelekea Ufaransa, maelezo ya safari yake yamegubikwa na utata mtupu baada ya viongozi pamoja na yeye mwenyewe Zahera kutofautiana katika maelezo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS