Kauli tatu tata za Yanga kuhusu safari ya Zahera
Baada ya hapo jana kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kuondoka nchini kuelekea Ufaransa, maelezo ya safari yake yamegubikwa na utata mtupu baada ya viongozi pamoja na yeye mwenyewe Zahera kutofautiana katika maelezo yao.