Mbao FC waamua kumbeba Mwinyi Zahera
Mapema jana baada ya mchezo wa Yanga na Kariobangi Sharks kumalizika kwa Yanga kutolewa kwa kufungwa mabao 3-2, kocha Mwinyi Zahera alisema hajaumizwa na matokeo kwasababu bado kuna timu za Tanzania ambazo zinaweza kubeba taifa.

