Alichokifanya Tulia Ackson kuelekea 'Yes We Can'
Baada ya taarifa ya klabu ya Simba iliyotolewa jana ikieleza kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya JS Saoura ni Naibu Spika Tulia Ackson, naye ameitikia na kuwataka Watanzania wafike uwanjani kwa wingi.

