"Tunashughulikia madeni halali" - JPM

Rais John Pombe Magufuli leo akiwa katika kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amebainisha kwamba kwa sasa serikali inaendelea kushughulikia madeni halali yakiwepo ya walimu ambayo tayari wameshaanza kulipwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS