Yanga na Simba kupoza machungu pamoja leo

Wachezaji wa Simba kushoto na Yanga kulia.

Klabu za soka za Yanga na Simba zote zimerejea Dar es salaam usiku wa kuamkia leo, Januari 21, 2019, zikitokea kwenye mechi zake za uganini ambapo zote ziliambulia kichapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS