Mwanamuziki Oliver Mtukudzi afariki dunia

Oliver Mtukudzi enzi za uhai wake

Staa wa muziki wa Jazz, Oliver Mtukudzi amefariki dunia mchana leo Januari 23, 2019 huko mjini Harare Zimbabwe. Mtukudzi amefariki akiwa na miaka 66.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS