Zitto Kabwe ataka taarifa za ugonjwa wa Mbowe

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amekitaka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoa taarifa juu ya hali ya afya ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ambaye ameshindwa kuwasili Mahakamani leo kwa sababu ni mgonjwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS