Nafasi mbili muhimu alizozitumikia Mbwezeleni TFF

Hamidu Mbwezeleni

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya  Maadili ya shirikisho la soka nchini (TFF), Hamidu Mbwezeleni, amefariki dunia leo Januari 16, 2019 katika hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS