Chama azua gumzo, uongozi wataja mgeni rasmi taifa

Clatous Chama akimkabidhi jezi shabiki wake

Kiungo maarufu hivi sasa katika klabu ya Simba, Mzambia Clatous Chama ameoonesha uungwana kwa kumzawadia jezi shabiki wa klabu hiyo baada ya picha yake kusambaa mtandaoni akiomba jezi ya mchezaji huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS