Nafasi mbili muhimu alizozitumikia Mbwezeleni TFF Hamidu Mbwezeleni Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya shirikisho la soka nchini (TFF), Hamidu Mbwezeleni, amefariki dunia leo Januari 16, 2019 katika hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu. Read more about Nafasi mbili muhimu alizozitumikia Mbwezeleni TFF