Naomi Osaka anavyojimilikisha utawala wa Williams Kutoka kushoto ni Serena, Naomi katikati na Venus kulia. Mapema leo Januari 24, 2019 mcheza tenisi Naomi Osaka amefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya wazi ya Australia ikiwa ni fainali yake ya pili mfululizo ya Grand slam. Read more about Naomi Osaka anavyojimilikisha utawala wa Williams