Dkt. Bashiru atangaza kumng'oa Mbunge wa CHADEMA

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amewataka wanachama wa chama hicho kumuunga mkono Mbunge wa Bukoba Mjini (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ili wweze kumng'oa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS