Sherehe za 'Birthday' kuanza kulipiwa mwezi ujao Imeelezwa kuwa viwango vya tozo kwa vibali vya shughuli au sherehe zote za kijamii kwa wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, vitaanza kutozwa shilingi elfu hamsini kuanzia Februari mosi. Read more about Sherehe za 'Birthday' kuanza kulipiwa mwezi ujao