Matokeo ya kidato cha nne yafutwa

Dkt. Charles Msonde.

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018 ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38, huku likifuta matokeo ya shule moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS