Dkt. Bashiru afunguka nchi kurudi chama kimoja Katibu Mkuu wa CCM. Dkt. Bashiru Ali. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema wanaodhani kuwa chama hicho kinataka mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa ili nchi irudi kwenye mfumo wa chama kimoja wanakosea. Read more about Dkt. Bashiru afunguka nchi kurudi chama kimoja