Dkt. Bashiru afunguka nchi kurudi chama kimoja

Katibu Mkuu wa CCM. Dkt. Bashiru Ali.

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema wanaodhani kuwa chama hicho kinataka mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa ili nchi irudi kwenye mfumo wa chama kimoja wanakosea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS