Rais kupambana na waliopiga waandamanaji Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema atavichunguza vikosi vya usalama baada ya kufanya vitendo vya ukandamizaji wa waandamanaji wiki iliyopita akisema kitendo hicho kinaisaliti Zimbabwe mpya. Read more about Rais kupambana na waliopiga waandamanaji