Serikali kupunguza Walimu

Naibu Waziri, Mwita Waitara

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mwita Waitara, amesema kwamba serikali imedhamiria kuwapunguza walimu wa sekondari na kuwapeleka katika shule za msingi ili kuweza kuziba nafasi za upungufu katia shule hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS