Serikali kupunguza Walimu Naibu Waziri, Mwita Waitara Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mwita Waitara, amesema kwamba serikali imedhamiria kuwapunguza walimu wa sekondari na kuwapeleka katika shule za msingi ili kuweza kuziba nafasi za upungufu katia shule hizo. Read more about Serikali kupunguza Walimu