"Haijawahi kutokea Rais kama wewe"- Askofu Kakobe Askofu Kakobe akiwa na Rais Magufuli. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amesema kufanikiwa kwa mataifa makubwa kunatokana na kumtanguliza Mungu mbele katika kila shughuli wanayoifanya. Read more about "Haijawahi kutokea Rais kama wewe"- Askofu Kakobe