Mchezaji wa Yanga afiwa na baba yake

Kikosi cha Yanga na mlinda mlango mwenye jezi nyeusi ni Klaus Kindoki

Mlinda mlango wa klabu ya Yanga raia wa DR Congo, Klaus Kindoki amempoteza baba yake mzazi ambaye amefariki nyumbani kwao Congo. Klabu imethibitisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS