Kodi kumnyamazisha Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amewaasa wananchi wa Dar es salaam kujenga tabia ya kulipa kodi, ili kuhakikisha serikali inatekeleza miradi ya Maendeleo nchini huku akimwahidi Rais kuwa atakuwa kimya akitengeneza mpango wezeshi kwa walipa kodi.