Mchezaji wa Yanga afiwa na baba yake Kikosi cha Yanga na mlinda mlango mwenye jezi nyeusi ni Klaus Kindoki Mlinda mlango wa klabu ya Yanga raia wa DR Congo, Klaus Kindoki amempoteza baba yake mzazi ambaye amefariki nyumbani kwao Congo. Klabu imethibitisha. Read more about Mchezaji wa Yanga afiwa na baba yake