Waliotuhumiwa kulipua mabomu walipwa mamilioni Mahakama Raia watatu waliotuhumiwa kuhusika na mlipuko wa bomu nchini Uganda mwaka 2010, wamezawadiwa kiasi cha shilingi milioni 8 ambazo ni sawa na milioni 181 na Mahakama Kuu Jijini Nairobi nchini Kenya. Read more about Waliotuhumiwa kulipua mabomu walipwa mamilioni