Ajirusha kutoka gorofa ya tatu Rock City Mall

Jengo la Rock City Mall

Mwanaume mmoja aitwaye Musa Ally mwenye umri wa miaka 25, ambaye ni mkazi wa  mtaa wa Kiloleli wilayani Ilemela jijini Mwanza, amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 3 hadi chini katika jengo la Rocky City Mall.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS