Nay wa Mitego kugombea Ubungo 2020?

Rapa Nay wa Mitego

Rapa Nay wa Mitego anayefanya vyema katika soko la muziki wa bongofleva amesema kwamba  hana mpango wa kugombea jimbo la Ubungo kwa madai kwamba siasa zimejaa uongo mwingi na maneno mengi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS