Ndege binafsi yapotea na watu wawili Mchezaji Sala ambaye alikuwa kwenye ndege hiyo. Mshambuliaji mpya wa klabua ya Cardiff City Emiliano Sala, amepotea angani kwenye ndege binafsi jana jumatatu jioni wakati anatoka mjini Nantes, Ufaransa kuelekea Cardiff, Wales. Read more about Ndege binafsi yapotea na watu wawili