"Tumejipanga uchaguzi wa 2020"- Sirro

Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon N. Sirro.

Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon N. Sirro amesema Jeshi hilo limejipanga vya kutosha kusimamia usalama katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika na ule wa 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS