Haji manara akifunga kamba za viatu vya Clatous Chama.
Mabingwa wa soka nchini klabu ya soka ya Simba, imesema haitafanya makosa kama ya mwaka jana kwenye kombe la shirikisho badala yake imeupa kipaumbele mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya Mashujaa.