Yahya Zayd na timu yake waondolewa Klabu Bingwa

Mshambuliaji, Yahya Zayd (kushoto) pamoja na wachezaji wa Ismaily (kulia) wakishangilia

Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF limeiengua klabu ya Ismaily ya nchini Misri kwenye orodha ya timu za Kundi C Ligi ya Mabingwa barani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS