Ndege mpya yaigusa Krismasi mkoani Geita

Ndege ya Tanzania A220-300

Baadhi ya wananchi Mkoani Geita wamesherehekea siku ya sikukuu ya kuzaliwa Yesu Kristu (Krismasi), kuelekea mwaka mpya huku wakiwa na furaha kubwa ya kuona Tanzania inaingia kukuza uchumi Barani Afrika kwa kufufua Shirika la Ndege ATCL ambalo wanaamini litaingizia nchi mapato makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS