Aliyeshika namba 1 matokeo form 4 aeleza machungu
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza kwenye mtihani wa Taifa wa Kidato cha nne mwaka 2018, Hope Mwaibanje, ameelezeaa siri ya kufanya vyema, licha ya changamoto nyingi alizozipitia katika safari hiyo.

