Amber Ruty apigwa 'stop' na mchungaji wake
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mchungaji Daudi Mashimo wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Mbezi Luis Dar es salaam ambaye ndiye anayewasimamia Amber Ruty na mpenzi wake jana usiku amewazuia kuzungumza na wanahabari.