'Naweza kumpata mwanamke yeyote nitakaye' - Marioo

Pichani ni msanii Marioo 'Toto Bad'.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini , maarufu kwa jina la Marioo, amesema kwa sasa alipofikia, pamoja na kazi nzuri anazozifanya anao uwezo wa kumpata na kummiliki mwanamke yeyote anayemtaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS