Kizimbani kwa kumbaka na kumpa Mimba mwanafunzi

Kijana Ibrahimu Mshani (19) akifikishwa kwa Mahakama ya Mkoa wa Songwe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe, imempandisha kizimbani Ibrahimu Mshani (19), ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Ndolezi na Mfanyabiashara kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu (19), katika Shule ya Sekondari Oswe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS