'Hatutagawa tisheti za bure 2020' - Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Bashiru Ally. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Bashiru Ally amesema chama hicho hakitatoa tisheti za bure kwa wanachama wake Uchaguzi Mkuu ujao, badala yake wanachama wajinunukie wenyewe Read more about 'Hatutagawa tisheti za bure 2020' - Bashiru Ally