Mwanafunzi ampa mimba mwanafunzi mwenzake Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe, imempandisha kizimbani Chrispin kibona (18) mwanafunzi wa kidato Cha pili Idigima Sekondari, kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi mwenzake miaka wa 17. Read more about Mwanafunzi ampa mimba mwanafunzi mwenzake