Mwanafunzi ampa mimba mwanafunzi mwenzake

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe, imempandisha kizimbani Chrispin kibona (18) mwanafunzi wa kidato Cha pili Idigima Sekondari, kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi mwenzake miaka wa 17.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS